Mwenyekiti
wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete wakati akifunga mafunzo kwa
watendaji na viongozi wa CCM ngazi za wilaya na mikoa, usiku wa kuamkia
leo Oktoba 25, 2013 katika ukumbi wa mikutano wa CCM wa ‘White House’
mjini Dodoma. Mafunzo hayo yaliyokuwa ya siku nne yalifunguliwa na
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Kulia kwake
ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na kushoto
kwake ni Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana. PICHA NA IKULU
MAWAZIRI TANZANIA NA ZAMBIA WATUA EDEN YA NGORONGORO NA UJUMBE WA WATU 170
-
Eneo la Hifadhi ya Ngorongoro jana tarehe 26 Februari 2026 limepokea ugeni
mzito uliongozwa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi wa Tanzania, Mhe.
Patr...
15 hours ago

No comments :
Post a Comment