Mwenyekiti
wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete wakati akifunga mafunzo kwa
watendaji na viongozi wa CCM ngazi za wilaya na mikoa, usiku wa kuamkia
leo Oktoba 25, 2013 katika ukumbi wa mikutano wa CCM wa ‘White House’
mjini Dodoma. Mafunzo hayo yaliyokuwa ya siku nne yalifunguliwa na
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Kulia kwake
ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na kushoto
kwake ni Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana. PICHA NA IKULU
ISIMANI WAJITOKEZA KWA WINGI KUMCHAGUA MRITHI WA LUKUVI
-
*Wananchi wa Kijiji cha Mkungugu jimbo la Ismani katika Halmashauri ya
Wilaya ya Iringa mkoani Iringa wakiwa katika foleni ya kupiga kura ya
kumchagua Mbu...
1 day ago

No comments :
Post a Comment