Mwenyekiti
wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete wakati akifunga mafunzo kwa
watendaji na viongozi wa CCM ngazi za wilaya na mikoa, usiku wa kuamkia
leo Oktoba 25, 2013 katika ukumbi wa mikutano wa CCM wa ‘White House’
mjini Dodoma. Mafunzo hayo yaliyokuwa ya siku nne yalifunguliwa na
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Kulia kwake
ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na kushoto
kwake ni Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana. PICHA NA IKULU
SUBIRA MGALU ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE.JIMBO LA BAGAMOYO ,PWANI
-
Bagamoyo, Juni 29, 2025
– Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum kutoka Jimbo la Bagamoyo, Mkoani Pwani,
Mhe. Subira Khamis Mgalu, leo amechukua fomu ya kuwan...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment