Mwenyekiti
wa CCM Taifa, Rais Jakaya Kikwete wakati akifunga mafunzo kwa
watendaji na viongozi wa CCM ngazi za wilaya na mikoa, usiku wa kuamkia
leo Oktoba 25, 2013 katika ukumbi wa mikutano wa CCM wa ‘White House’
mjini Dodoma. Mafunzo hayo yaliyokuwa ya siku nne yalifunguliwa na
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein. Kulia kwake
ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndugu Philip Mangula na kushoto
kwake ni Katibu Mkuu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana. PICHA NA IKULU
MWENEZI PWANI : HOTUBA YA MHE.RAIS SAMIA IMETOA DIRA YA MATUMAINI KWA TAIFA
LETU
-
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba.
Na Mwandishi Wetu, Kibaha
Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo Cha Mapinduzi...
1 hour ago

No comments :
Post a Comment