Mbunifu wa mavazi wa kimataifa nchini Afrika Kusini, David Tlale akiwa na Mwanamitindo wa Kimataifa kutoka Tanzania, Millen Magesa wakipita jukwaani stejini mara baada ya kuonesha ya kuonesha mavazi yake katika Tamasha la Mercedez Benz African Fashion Week, lililofanyika kwenye Stehsni ya Treni ya Ravos ya Mjini Tshwane, Pretoria, Afrika Kusini hivi karibuni
ZLATAN IBRAHIMOVIC AJIVINJARI SERENGETI
-
Nahodha wa zamani wa timu ya Taifa ya Sweden, Zlatan Ibrahimovic, ametua
nchini nakuuchapisha picha akiwa katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti,
mkoani ...
5 hours ago
No comments :
Post a Comment