Pichani chini baadhi ya Wafanyakazi
wenzake na Ufo Saro kutoka IPP pamoja waandishi wa habari wa vyombo
mbalimbali wakiwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili ambako Ufo Saro
ambaye mpaka sasa, yuko katika chumba cha upasuaji baada ya kupigwa
risasi na mchumba wake Anteri Mushi usiku wa kuamkia leo ambapo pia
alimpiga mama mzazi wa Ufo Saro Anastazia Peter Saro miaka 59
aliyefariki hapohapo na baadae kujipiga risasi mwenyewe na kufa
hapohapo, Tukio hilo limetokea usiku wa kuamkia leo huko Mbezi Luisi Wafanyakazi hao wakibadilishana mawazo hapa na pale katika hospitali ya Muhimbili leo hii Picha Kwa Hisani ya Fullshangwe Blog
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment