Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 11, 2013

HAFLA YA USIKU WA CHAKULA CHA HISANI ILIYOANDALIWA NA AMREF TANZANIA NA MONTAGE LIMITED INAENDELEA USIKU HUU KATIKA HOTEL YA SERENA


Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Dk Mohamed Gharib Bilal ambaye pia ni mgeni rasmi katika Usiku wa Chakula cha Hisani kilichoandaliwa na AMREF TANZANIA kwa kushirikiana na Kampuni ya Montage kwaajili ya kuchangisha Pesa kwaajili ya Kusomesha Wakunga, hafla hiyo inayoendelea Usiku Huu katika hotel ya Serena
Mgeni Rasmi ambaye pia ni Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Mohamed Gharib Bilal akiwa katika picha ya Pamoja na baadhi ya wawakilishi wa makampuni yaliyodhamini Usiku wa Chakula cha Hisani unaofanyika katika Hoteli ya Serena Usiku huu kwaajili ya kuchangisha ya kusomesha wakunga.Kampeni hii ya AMREF ijulikanayo kama Stand up for Tanzania Mother yenye lengo la kutafuta pesa ya kusomesha wakunga ili kuweza kutoa huduma ya Mama na Mtoto ili kupunguza vifo vya mama na mtoto katika hospitali za Tanzania
Mgeni rasmi ambaye pia ni Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Mohamed Gharib Bilal akiwa na wageni wengine waalikwa Katika Meza yao katika Usiku wa Chakula Cha Hisani ulioandaliwa na AMREF TANZANIA kwa kushirikiana na Montage Limited Kwaajili ya kutafuta pesa ya Kusomesha Wakunga ili kuweza kusaidia kupunguza Vifo vya Mama na Mtoto Tanzania
Baadhi ya Wake wa Mawaziri waliohudhuria hafla hii ya Usiku wa Chakula Cha Hisani kwaajili ya Kutafuta pesa ya Kusomesha wakunga kwaajili ya Kupunguza Vifo vya Mama na Mtoto, Hafla iliyoandaliwa na AMREF Tanzania kwa kushirikiana na Montage Limited kupitia kampeni yake ya Stand up For Tanzania Mother

No comments :

Post a Comment