Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 27, 2013

MOHAMED BAWAZIR AONGOZA KIK AO CHA KUANGALIA MUSTAKABALI WA KATA YA JANGWANI



Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kata ya Jangwani, Mohamed Bawazir kulia akizungumza na viongozi wa CCM pamoja na wadau wa chama hicho wa kata hiyo juu ya mustakabali mzima wa kata hiyo baada ya kuongoza ndani ya kipindi cha miezi sita kushoto Katibu Wake Majala Balawa
Baadhi ya wanachama na viongozi wa CCMwakifatilia mkutano huo
Mmoja ya wanachama wa CCM wa kata ya jangwani Maaarufu  kwa jina la mlipula na Nuguze akijitambulisha kwa wanachama wenzie
wanachama wakimsikiliza mwenyekiti
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Jangwani Mohamed Bawazir kulia akiteta jambo na Katibu Wake Majala Balawa wakati wa mkutano wa mustakabali mzima wa kata hiyo baaa ya kuongoza kwa miezi sita

No comments :

Post a Comment