Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, October 24, 2013

WATANZANIA WAZIDI KUJIFUA MASHINDANO YA TUSKER PROJECT FAME


 Washiriki Tusker Project Fame msimu wa 6 kutoka Tanzania Angella Karashani(Angel)na Elisha Maghiya(Hisia)wakisikiliza musiki kwa makini wakisubiri kupata maelezo kutoka kwa viongozi wa jumba la Tusker Project Fame wakati wa mazoezi ya kujinoa na shoo ya Jumapili.
 Mmoja wa washiriki kutoka Tanzania Hisia (katikati mwenye tisheti nyeusi)akiwa pamoja na washiriki wenzake wa kiume wakifurahia mtoko baada ya kuwashinda washiriki wa kike.
 Washiriki Tusker Project Fame msimu wa 6 kutoka Tanzania Angella Karashani(Angel)na Elisha Maghiya(Hisia)wakisikiliza musiki kwa makini wakisubiri kupata maelezo kutoka kwa viongozi wa jumba la Tusker Project Fame wakati wa mazoezi ya kujinoa na shoo ya Jumapili.

No comments :

Post a Comment