Mke wa
Rais Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa Binti Witness Mwalongo
anayesoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Mpechi iliyopo
Mjini Njombe mara tu baada ya kuwasili Rest House mjini hapo tarehe
17.10.2013. Mama Salma yupo Mkoani Njombe akifuatana na Rais Kikwete
aliye katika ziara ya kuutembelea mkoa wa Njombe kuanzia tarehe 17.10
hadi 23.10.2013. PICHA NA JOHN LUKUWI
KAMISHNA WA UHIFADHI NCAA BADRU AZINDUA CHAPA MPYA YA MAAJABU NGORONGORO
-
Na Kassim Nyaki, Ndutu Ngorongoro.
Waswahili husema aungurumapo Simba mcheza nani?
Tarehe 7 Februari, 2026 Simba ameunguruma ndani ya hifadhi ya Ngoron...
3 hours ago
No comments :
Post a Comment