Mke wa
Rais Mama Salma Kikwete akipokea ua kutoka kwa Binti Witness Mwalongo
anayesoma Kidato cha Kwanza katika Shule ya Sekondari ya Mpechi iliyopo
Mjini Njombe mara tu baada ya kuwasili Rest House mjini hapo tarehe
17.10.2013. Mama Salma yupo Mkoani Njombe akifuatana na Rais Kikwete
aliye katika ziara ya kuutembelea mkoa wa Njombe kuanzia tarehe 17.10
hadi 23.10.2013. PICHA NA JOHN LUKUWI
MWENEZI PWANI : HOTUBA YA MHE.RAIS SAMIA IMETOA DIRA YA MATUMAINI KWA TAIFA
LETU
-
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba.
Na Mwandishi Wetu, Kibaha
Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo Cha Mapinduzi...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment