Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),
Athuman Nyamlani akielezea mipango yake ya kuendeleza soka nchini
endapo katika Uchaguzi Mkuu wa TTF ujao atachaguliwa kuwa Rais.
Nyamlani alikuwa anazungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari
alipokuwa akizindua kampeni zake jana kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari
Maelezo, Dar es Salaam leo.
SGR :HATUNA MPANGO WA KUONGEZA NAULI
-
Shirika la Reli Tanzania (TRC) limesema halina mpango wa kuongeza nauli za
usafiri wa Reli ya Kisasa (SGR) kutokana na kupanda kwa bei ya mafuta, kwa
ku...
5 days ago
No comments :
Post a Comment