Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),
Athuman Nyamlani akielezea mipango yake ya kuendeleza soka nchini
endapo katika Uchaguzi Mkuu wa TTF ujao atachaguliwa kuwa Rais.
Nyamlani alikuwa anazungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari
alipokuwa akizindua kampeni zake jana kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari
Maelezo, Dar es Salaam leo.
KAMISHNA WA UHIFADHI NCAA BADRU AZINDUA CHAPA MPYA YA MAAJABU NGORONGORO
-
Na Kassim Nyaki, Ndutu Ngorongoro.
Waswahili husema aungurumapo Simba mcheza nani?
Tarehe 7 Februari, 2026 Simba ameunguruma ndani ya hifadhi ya Ngoron...
5 hours ago
No comments :
Post a Comment