Makamu wa Kwanza wa Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF),
Athuman Nyamlani akielezea mipango yake ya kuendeleza soka nchini
endapo katika Uchaguzi Mkuu wa TTF ujao atachaguliwa kuwa Rais.
Nyamlani alikuwa anazungumza wakati wa mkutano na waandishi wa habari
alipokuwa akizindua kampeni zake jana kwenye Ukumbi wa Idara ya Habari
Maelezo, Dar es Salaam leo.
MWENEZI PWANI : HOTUBA YA MHE.RAIS SAMIA IMETOA DIRA YA MATUMAINI KWA TAIFA
LETU
-
Katibu wa Siasa, Uenezi na Mafunzo CCM Mkoa wa Pwani Dkt. David Mramba.
Na Mwandishi Wetu, Kibaha
Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo Cha Mapinduzi...
1 hour ago
No comments :
Post a Comment