Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, June 11, 2012

MAKINDA YA AZAM YAKILISHWA 'NGUVU' CHAMAZI







Kocha wa timu ya vijana ya Azam FC, Iddi Cheche ambaye ni beki wa zamani wa Sigara (sasa Moro United) na Kariakoo United ya Lindi, akiwanoa kwa mazoezi ya kujenga mwili wachezaji wa timu hiyo katika gym ya timu hiyo iliyopo ndani ya Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jioni ya leo.
1. Mwinyi Hamadi kushoto na Saleh Abdallah
2. Deogratius Nemes
3. Abdul Iddi Machuppa, mdogo wake Athumani Machuppa
4. Kocha Cheche akimuelekeza Mwinyi Hamadi

No comments :

Post a Comment