Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omary Badwel (CCM), akisindikizwa na
askari polisi kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo,
baada ya kusomewawa mashitaka akituhumiwa kushawishi na kupokea rushwa
ya sh. milioni 1. Kesi hiyo imehairishwa hadi juni 18 mwaka huu. (PICHA
NA PHILEMON SOLOMON)
AZANIA BANK YAENZI USHINDI WA RIADHA DAR MASHINDANO YA TAIFA
-
Benki ya Azania, imeipongeza timu ya Riadha ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa
kushika nafasi ya pili katika Mashindano ya Taifa 'National Athletics
Championsh...
15 hours ago

No comments :
Post a Comment