Mbunge wa Jimbo la Bahi, Omary Badwel (CCM), akisindikizwa na
askari polisi kutoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo,
baada ya kusomewawa mashitaka akituhumiwa kushawishi na kupokea rushwa
ya sh. milioni 1. Kesi hiyo imehairishwa hadi juni 18 mwaka huu. (PICHA
NA PHILEMON SOLOMON)
NITAENDELEA KUWEKA MAZINGIRA WEZESHI KWA WAWEKEZAJI:RC NYONGO
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhe. Stanslaus Haroon Nyongo, amesema ataendelea
kuweka mazingira wezeshi kwa wawekezaji ili kukuza uwekezaji na uchumi wa
Mkoa wa...
3 days ago

No comments :
Post a Comment