Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 29, 2012

TWIGA CEMENT YAKABIDHI ZWADI KWA WASHINDI WA TUZO ZA MAZINGIRA



  Mkurugenzi Idara ya Tathmini ya Athari kwa Mazingira ya Baraza la Taifa la Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Ignace Mchallo (kushoto) akimpongeza  Leonard Gastory Lugali, akiyeibuka mshindi wa kwanza wa shindano kuhusu  mazingira lililopewa jina la‘Quarry Life Award’ lililokuwa likiendeshwa na Kampuni ya Saruji yaTanzania Portland Cement (Twiga) na kupewa zawadi ya EURO 5000 katika hafla iliyofanyika kiwandani hapo, Dar es Salaam jana. Mshindi wa pili alipewa EURO 5000 na wa tatu aliondoka na 1500. Wengine pichani washindi, majaji wa shindano na maofisa wa TPCC.

No comments :

Post a Comment