Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 24, 2012

NBC yawazawadia washindi wa Promosheni ya 'Dabo Mshiko'




Meneja wa Tawi la NBC Mnazi Mmoja, Judith Motta (kulia) akikabidhi zawadi ya fedha taslimu kwa mmoja wa washindi wa promosheni ya Dabo Mshiko wako na NBC, Kidaki Ndege Sospeter jijini Dar es Salaam. Katikati ni Meneja Chapa na Matangazo wa NBC, Arden Kitomari.

Meneja wa Tawi la Benki ya NBC Chang’ombe, Blessing Kijalo (kulia) akikabidhi zawadi ya fedha taslimu kwa mmoja wa washindi wa promosheni ya Dabo Mshiko wako na NBC, Joseph Saindani Nyilenda jijini Dar es Salaam. Katikati ni Meneja Chapa na Matangazo wa NBC, Arden Kitomari.

Mmoja wa washindi wa promosheni ya Dabo Mshiko wako na NBC,Joseph Saindani Nyilenda akionyesha zawadi yake ya fedha taslimu mara baada ya kukabidhiwa jijini Dar es Salaam.

Mshauri wa Mahusiano wa Benki ya NBC, Eddie Mhina akizungumza katika hafla ya kuwakabidhi zawadi washindi wa promosheni ya Dabo Mshiko wako na NBC jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment