Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 14, 2012

HUSSEIN MACHOZI KUTOA NYIMBO MPYA




Na Elizabeth John
NYOTA wa muziki wa kizazi kipya nchini, Hussein Rashid ‘Hussen Machozi’ amesema yupo katika hatua za mwisho za uandaaji wa kibao chake kipya ambacho bado hajakipatia jina.
Akizungumza jijini Dar es Salaam alisema kutokana na ubora wa wimbo huo anapata tabu kujua aupe jina gani na anaimani mwisho wa mwezi huu utaanza kusikika redioni.
“Unajua kazi ikiwa freshi inakua tabu kutafuta jina la wimbo, hivyo nipo kwenye mchakato wa kutafuta ikibidi nitaomba ushauri kwa wasanii wengine,” alisema Hessein Machazi.
Alisema kikubwa kinachotakiwa ni sapoti kutoka kwa mashabiki na kwamba wasicheze mbali na yeye kuna vitu vingi ambavyo amewaandalia.
Mbali na kibao hicho, Hussen Machozi kwa sasa anatamba n akibao chake cha ‘Addicted’ ambacho kinafanya vizuri katika vituo mbalimbali vya redio na runinga.

No comments :

Post a Comment