Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 14, 2012

WAISILAMU 20 WAUAWA WAKITOKA MSIKITINI NIGERIA.



Baadhi ya waisilamu wa kijiji cha Dogo Dawa wakikimbia baada ya kushambuliwa wakati wakitoka msikitini.
Wakuu wa Nigeria wanasema kuwa watu waliokuwa na silaha wamewauwa watu kama 20 katika shambulio lilofanywa alfajiri kwenye kijiji cha Dogo Dawa katika jimbo la Kaduna kaskazini mwa nchi.
Waliouwawa wengi walikuwa wakitoka msikitini. Washambuliaji walifyatua risasi na kuwapiga visu waliokuwako na tena walimuuwa mzee wa jamii nyumbani kwake.
 
Afisa wa habari wa jimbo hilo, Saidu Adamu, aliiambia BBC kwamba gengi la majambazi wa jimbo hilo walifanya mauaji hayo.
Alisema shambulio hilo ni la kulipiza hatua iliyochukuliwa na wanakijiji cha Dogo Dawa ya kuunda kikosi cha wanamgambo wao wenyewe kuwatimua majambazi hao ambao wamekuwa tishio kijijini.

No comments :

Post a Comment