Mwanafunzi
wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Alfa Morogoro, Jesca
Kiliani (17) akifanya mtihani wa taifa wa kidato hicho akiwa wadi namba
7B katika hospitali ya rufaa ya mkoa huo jana, baada ya kulazwa
kufuatia kufanyiwa operesheni ya uvimbe ambapo hivi sasa anaendelea na
matibabu hospitalini hapo.
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
1 day ago


No comments :
Post a Comment