Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 22, 2012

Wateja wa Barclays kushuhudia Ligi Kuu ya England (BPL) live




Mkuu wa Mawasiliano wa Benki ya Barclays Tanzania, Tunu Towo Kavishe (kushoto) akionyesha jezi halisi ya timu ya Arsenal ikiwa ni moja ya zawadi watakazopewa washindi wa promosheni ya Ligi Kuu ya England (BPL) inayoendeshwa na benki hiyo. Mshindi mmoja katika kila droo hujishindia tiketi ya yeye na mwenzake kwenda kushuhudia moja ya mechi ya ligi hiyo nchini Uingereza. Droo hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania (GBT), Maggid Bakari na Mkuu wa Bidhaa, Huduma na Utafiti wa benki hiyo, Samwel Mkuyu.
Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam, Rukia Kizwi (kushoto) akitoa tiketi ili kumpata mmoja wa washindi wa promosheni ya Ligi Kuu ya England (BPL) inayoendeshwa na benki hiyo. Mshindi mmoja katika kila droo hujishindia tiketi ya yeye na mwenzake kwenda kushuhudia moja ya mechi ya ligi hiyo nchini Uingereza na wengine wawili hujishindia zawadi ndogondogo. Droo hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam jana. Wa pili kutoka kushoto ni Mkuu wa Mawasiliano wa Barclays, Tunu Towo Kavishe, Mkuu wa Bidhaa, Huduma na Utafiti wa benki hiyo, Samwel Mkuyu, Mkaguzi wa Bodi ya Michezo ya Kubahatisha, Bakari Maggid na Ofisa Mawasiliano wa Barlclays, Lilian Machare.

No comments :

Post a Comment