Kocha mkongwe katika masumbwi, Habibu Kinyogoli 'Katikati' akibadilishana mawazo na makocha wa mchezo huo kushoto ni Kocha wa timu ya Taifa Mzonge Hassani na Kocha wa Kimataifa wa mchezo uho anaefundisha timu ya Ashanti pamoja na timu ya Mkoa wa Kimichezo ya Ilala Rajabu Mhamila 'Super D' walipokutana katika kambi ya ngumi Ilala Dar es salaam juzi Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com |
TUNGUU ,MAKUNDUCHI KUWA NJIA NNE
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
mbea wa nafasi ya Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM),
ambaye pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza ...
56 minutes ago
No comments :
Post a Comment