
Mabondia
hao wanatarajia kupanda Ulingoni Novemba 18/2012 huko maeneo ya Mabibo
katika ukumbi wa D.I.D, ambapo pambano hilo litakuwa ni la upinzani
kubwa kutoka na mabondia hao kutambia na kufikia kutaka kuzichapa kavu
kavu mtaani.
Akilizungumzia
pambano hilo kocha mzazi alisema kuwa mabondia hao wote ni wazuri ambao
wanaofundishwa na kocha mzuri mwenye uwezo mkubwa pia ni mabondia
wazuri
na ni tegemeo zuri la baadae.

Hivyo
basi Mwaite Juma, kutoka BigRight boxing gym atacheza na Baina Mazola wa
No talking gym katika pambano la raundi nane.
Na Pambano hilo kali litasindikizwa na Karim
Ramadhan (mdogo wa Nasibu Ramadhan-bondia bora wa mwaka) atakaecheza
na Martin Richard.
Siku
hiyo pia kutakuwa na mapambano mengi ya kiushindani ya kuwekana sawa
nani zaidi ya mwingine kati ya mabondia wa mabibo na mwananyamala.
No comments :
Post a Comment