Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, October 26, 2012

NMB YAKABIDHI MADAWATI-KILOSA



Meneja wa NMB Kanda ya Mashariki Bw. Ole Loibanguti (wa pili kulia) akikabidhi madawati 85 yenye thamani ya shilingi milioni 5 kwa Msaidizi wa Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilosa Bw. Ayoub Kambi. Wakishuhudia kutoka kushoto ni Mtendaji Kata ya Mvumi Bw. Aloyce Isdory, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mvumi Bw. Evance Urassa, Afisa Elimu ya Msingi wa wilaya Bw. Rashid Chayeka na Meneja wa NMB Kilosa Bw. Lameck Matemba, Mkoani Morogoro wiki hii.
 Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mvumi wakiwa wamekaa kwenye madawati 85 yenye thamani ya shilingi milioni 5 waliyokabidhiwa na Meneja wa NMB Kanda ya Mashariki Bw. Ole Loibanguti(hayupo pichani) wilayani Kilosa, Morogoro.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mvumi wakiwa wamekaa kwenye madawati 85 yenye thamani ya shilingi milioni 5 waliyokabidhiwa na Meneja wa NMB Kanda ya Mashariki Bw. Ole Loibanguti(hayupo pichani) wilayani Kilosa, Morogoro.

No comments :

Post a Comment