Msanii
wa filamu nchini, Hisan Muya akifafanua jambo kwa waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi wa filamu ya C.I.D utakaofanyika
siku ya Ijumaa katika Ukumbi wa Business Park Victoria. Kulia ni Meneja
wa kampuni ya Tino Muya, Wilson Makubi. Picha na Habari Mseto Blog
RC KUNENGE APIGA KURA AHIMIZA WANANCHI WENGI KUSHIRIKI UCHAGUZI LEO
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge akitekeleza zoezi la kupiga kura
leo asubuhi aliposhiriki katika kituo chake kilichopo Wilayani Kibaha.
Na M...
1 week ago
No comments :
Post a Comment