Msanii
wa filamu nchini, Hisan Muya akifafanua jambo kwa waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi wa filamu ya C.I.D utakaofanyika
siku ya Ijumaa katika Ukumbi wa Business Park Victoria. Kulia ni Meneja
wa kampuni ya Tino Muya, Wilson Makubi. Picha na Habari Mseto Blog
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment