Msanii
wa filamu nchini, Hisan Muya akifafanua jambo kwa waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi wa filamu ya C.I.D utakaofanyika
siku ya Ijumaa katika Ukumbi wa Business Park Victoria. Kulia ni Meneja
wa kampuni ya Tino Muya, Wilson Makubi. Picha na Habari Mseto Blog
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment