Msanii
wa filamu nchini, Hisan Muya akifafanua jambo kwa waandishi wa habari
jijini Dar es Salaam kuhusu uzinduzi wa filamu ya C.I.D utakaofanyika
siku ya Ijumaa katika Ukumbi wa Business Park Victoria. Kulia ni Meneja
wa kampuni ya Tino Muya, Wilson Makubi. Picha na Habari Mseto Blog
NGORONGORO YAWAKUMBUSHA MADEREVA KUWA MAKINI NA KUZINGATIA SHERIA ZA HIFADHI
-
Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro imewakumbusha wamiliki na madereva wa
magari ya utalii kuwa makini , kuhakikisha magari yao yapo salama na
kuzingatia ...
4 days ago
No comments :
Post a Comment