Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 28, 2012

NMB YADHAMINI BONZA LA MICHEZO UDOM




Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Idris Kikula (wa tatu kulia), kwa pamoja na Meneja wa Kanda ya Kati Bi Lilian Mwinula wakisalimia wachezaji wa mpira wa miguu wakati wa bonanza iliyodhaminiwa na NMB iliyofanyika kati ya timu ya wafanyakazi na wanafunzi wa mwaka wa kwanza.
  Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Shabaan Mlacha akisalimiana na wachezaji wa timu ya mpira wa pete wakati wa bonanza iliyodhaminiwa na Benki ya NMB kati ya timu ya wafanyakazi na wanafunzi wa mwaka wa kwanza chuoni hapo.
 Wachezaji wa timu ya mpira wa kikapu wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Dodoma wakiteta jambo na Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Idris Kikula (wa kwanza kulia) wakati wa bonanza iliyodhaminiwa na Benki ya NMB kati ya timu ya wafanyakazi na wanafunzi wa mwaka wa kwanza.
Meneja wa NMB Kanda ya Kati Bi. Lilian Mwinula (kushoto), akiwa na Meneja wa NMB Idara ya Wateja Binafsi Bw. Abdulmajid Nsekela, Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma Profesa Idris Kikula na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano Bw. Imani Kajula wakishuhudia michuano hiyo iliyodhaminiwa na Benki ya NMB ikiendelea mkoani Dodoma.

No comments :

Post a Comment