Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, October 30, 2012

WAZIRI WA VIWANDA BIASHARA NA MASOKO Dkt. ABDALLAH KIGODA AZINDUA TAWI JIPYA LA BENKI YA STANBIC



 Waziri  wa Viwanda ,Biahara  na Masoko Dkt. Abdallah Kigoda akizindua tawi jipya la Benki ya Stanbic Kariakoo ambalo linakuwa la pili  katika eneo hilo la Kariakoo sokoni  jijini Dar es Salaam, mpaka sasa Stanbic inajumla ya matawi kumi na moja kwa nchi nzima .katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa benki hiyo Abdallah Singano(kushoto)Mkurugenzi wa Kitengo cha Biashara wa benki ya Stanbic Douglas Kamwendo
Waziri  wa Viwanda ,Biahara  na Masoko Dkt. Abdallah Kigoda akikalibishwa na Mkurugenzi wa Kitengo cha Biashara Douglas Kamwendo wakati wa hafala fupi ya uzinduzi wa tawi jipya la Benki ya Stanbic Kariakoo ambalo linakuwa la pili  katika eneo hilo la Kariakoo sokoni jijini Dar es Salaam, mpaka sasa Stanbic inajumla ya matawi kumi na moja kwa nchi nzima.Katikati ni Mkuu wa Kitengo cha Masoko wa benki hiyo Abdallah Singano
  Waziri  wa Viwanda ,Biahara  na Masoko Dkt. Abdallah Kigoda akiagana na Mkurugenzi wa Kitengo cha Biashara wa benki ya Stanic Douglas Kamwendo baada ya hafla fupi ya uzinduzi wa tawi jipya la benki hiyo Kariakoo Sokoni.
  Baadhi ya wafanyakazi wa benki ya Stanbic Tawali la Kariakoo sokoni wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumalizika hafala ya uzinduzi wa tawi la Kariakoo jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment