WAKAZI
wa Jiji la Dar es Salaam na vitongoji vyake, wamefurahia kuanza kwa
usafiri wa treni waliousubiri kwa muda mrefu ulioanza juzi.
Kamera
yetu leo ilitua katika ofisi ya mkuu wa kituo kinachodili na usafiri
huo, Bi. Rose Ngauga na kuzungumza mambo kadhaa kuhusiana na usafiri
huo.
Ngauga alisema kuwa usafiri huo siyo nguvu ya soda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu na kwamba utakuwa endelevu.
Ngauga alisema kuwa usafiri huo siyo nguvu ya soda kama inavyodaiwa na baadhi ya watu na kwamba utakuwa endelevu.
No comments :
Post a Comment