Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, October 21, 2012

BARABARA YA TOPE KUELEKEA KIGOMA NI KIKWAZO KWA UKUAJI WA UCHUMI WA MKOA


  

Hapa ni kilometa chache tu kutoka Kasulu kuelekea Kigoma Mjini barabara ya tope iliyopata marasha ya mvua inakua kikwazo kwa mabasi hali inayofanya madereva kuachiana kupita kwa zamu kwenye baadhi ya maeneo, mabasi haya yalilazimika kusimama baada ya gari moja la mizigo kunasa kwenye tope hilo.
Baadhi ya watu wakielekea kwenye gari lililonasa kutoa msaada ili liondolewe barabarani hapo na wengine wajaribu bahati yao kama watavuka salama.
Kama ilivyo kwa vijiji vingi nchini magari yanaponasa kwao inakuwa nineema kwa kupata ugeni wasiutarajia kwenye kijiji hichi kilichopo Kasulu pamoja na vijiji bingine vya barabarani nilichoshuhudia watoto wakiomba kutoka kwaabiria ni makopo (chupa tupu za kufadhia maji) nilijaribu kuuliza sana kwanini watoto hao huomba chupa hizo sikupata jibu lakini hali halisi ni hiyo wao wanaomba chupa za maji tu!

No comments :

Post a Comment