Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 9, 2011

MASHINDANO YA POOL SAFARI LAGER MKOA WA KINONDONI YAPAMBA MOTO



Meneja wa Bia ya Safari Lager, Oscer Shelukindo akizungumzaa na wachezaji wakati wa mashindano ya Kuunda timu ya Mkoa wa Ki nondoni yanayoendelea katika Klabu ya Mwanese Dar es Salaam.
Baba na Mtoto wakishindana kulagi wakati wa mashindano hayo,Kulia ni Baba, Mayaula Muhagama kutoka timu ya Jaba ya Mwananyamala na Mtoto Majaliwa Mayaula wa timu ya Shoko

Wakijiandaa kucheza

Majaliwa Mayaula wa timu ya Shoko akicheza wakati wa mashindano hayo dhidi ya Baba yake Mayaula Muhagama wa Jaba.

Mayaula Mhagama wa timu ya Jaba akicheza dhidi ya Mtoto wake Majaliwa Mayaula kutoka timu ya Shoko wakati wa mashindano hayo.



No comments :

Post a Comment