Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 2, 2011

Zantel Yazinduwa Kituo cha Intaneti Mbagala,


Waziri Mawasiliano, Sayansi na Teknologia Mhe. Makame Mbarawa akikata utepe kuzinduwa kituo kipya cha kutolea huduma na mafunzo ya intaneti bure cha Zantel ZNET, kilichopo eneo la Mbagala Zakem. Hiki ni kituo cha kwanza na pekee nchini kutoa mafunzo ya kompyuta na intaneti kwa wanafunzi bure. Kulia ni Afisa Mkuu wa Masoko wa Zantel Norman Moyo.
Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknologia Mhe. Makame Mbarawa akitumia mtandao wa intaneti kwenye kituo kipya cha kutolea huduma na mafunzo ya intaneti bure cha Zantel ZNET, kilichopo eneo la Mbagala Zakem. Wakimuangalia ni Msimamizi wa kituo hicho Wahindi Malekela (kati) na Afisa Mkuu wa Masoko wa Zantel Norman Moyo.

No comments :

Post a Comment