Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 6, 2011

WAREMBO WA VODACOM MISS HIGHER LEARNING WALIPOZURU MAKAO MAKUU YA VODACOM TANZANIA


Mmoja wa warembo wa Vodacom Miss Higherlearning akimuualiza Meneja wa Vodashop Mlimani City Bi. Fatma Kalyanye swali juu ya huduma zinazoedeshwa na vodashop pindi walipozuru Makao makuu ya Kampuni hiyo jana.
Mkuu wa kitengo cha huduma kwa wateja wa Vodacom Tanzania Najenjwa Mbaga akisalimiana na warembo wa Vodacom miss higherlearning walipozuru makao makuu ya kampuni hiyo jana wakiwa safarini kuelekea mjini Dodoma katika fainali za shindano lao litakalofanyika mwishoni mwa wiki.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania kitengo cha huduma kwa wateja Bw. Hiramu Mungai akitoa ufafanuzi wa jinsi ya kutoa huduma kwa wateja kwa Warembo wa Vodacom Miss higherlearning waliokuwa katika ziara ya kutembelea makao makuu ya kampuni hiyo jana.
Baadhi ya Warembo wa Vodacom Miss Higher learning wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza ziara yao ya kutembelea Makao makuu ya Vodacom Tanzania yaliyopo Mlimani City jijini Dar es salaam.
Meneja wa Vodashop Mlimani city Fatma Kalyanye akiwaelekeza warembo wa Vodacom Miss higher learning waliozuru duka hilo namna ya kuweka nyaraka za kudumu za wateja wao wa M-pesa, warembo hao walitembelea makao makuu ya kampuni hiyo ikiwa ni moja ya hatua za kuelekea kilele cha shindano lao liatakalofanyika mwishoni mwa wiki mjini dodoma.

No comments :

Post a Comment