Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, July 1, 2011

NAPE ATEMBELEA 'NEWSROOM' ZA MWANANCHI NA GLOBAL PUBLISHERS













Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akisalimiana na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Kiu, Ijumaa na Champion, Abdallah Mrisho, baada ya kuwasili Ofisi za kampuni hiyo, Mwenge, Dar es Salaam. leo . Wapili kulia ni Mhariri Kiongozi wa kampuni hiyo na Mhariri Kiongozi Oscar Ndauka na Mwandishi wa kampuni hiyo Luqman Maloto na wapili kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Sixtus Mapunda.




Nape akiwa katika ofisi za Global Publishers. Kushoto ni Abdallah Mrisho Wengine kutoka kulia ni, Sixtus Mapunda, Maloto,Ndauka na Mhariri kiongozi wa michezo wa Global Saleh Ally




Nape akizungumza na wafanyakazi wa Global Publishers katika chumba cha habari cha Global. Wengine ni Mrisho, Ndauka, Sixtus na Ally.




Waandishi wa habari wa kampuni ya Global Publishers wakiwa kazini wakati wa ziara hiyo ya Nape.




Kunfi la kwanza la wafanyakazi wa Global Publishers wakiwa katika picha ya pamoja na Nape baada ya kuzungumza nao leo




Kundi la pili la wafanyakazi wa Global Publishers wakiwa katika picha nya pamoja




















Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye(kulia) akikumbatiana kwa fraha na Mhariri Mhariri Mtendaji wa Gazeti la Mwananchi, Daniel Msacky,alipotembelea ofisi za Mwananchi Communications Ltd, Tabata, Dar es Salaam, 29/6/2011. Kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu wa Itikadi na Uenezi CCM, Sixtus Mapunda.




Katibu wa NEC, Itikati na Uenezi, CCM, Nape Nnauye akizungumza na Wahariri wa magazeti ya Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, alipofaya ziara katika ofisi za kampuni hiyo, Tabata Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Sixtus Mapunda na Kshoto ni Mhariri Mtendaji wa kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, Theophil Makunga, Mhariri Mrendaji gazeti la Mwananchi Dennis Msacky, na Mhariri wa Mwanaspoti Frank Sanga.


Waandishi wa habari wakiwa kazini katika chumba cha habari cha magazeti ya Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti ya kampuni ya Mwananchi Communications Ltd.


Mhariri wa Habari wa Mwananchi, yahya Charahani akiwa kazini.




Mwandishi wa habari mkongwe wa Lauden Mwambona wa kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, akifurahi Nape alipoingia chumba cha habari cha magazeti ya kampuni hiyo.




Nape akionyeshwa maandalizi ya gazeti la Mwananchi katika hatua ya mwisho kabla ya kwenda kuchapwa mtamboni. Anayempa maelezo ni Makunga.




Meneja uzalishaji katika mtambo wa uchapaji magazeti ya kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, Sameer Aher akimweleza Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye sehemu ya mtambo huo inavyofanya kazi.Kushoto ni Mhariri Mtendaji wa MCL Theophil Makunga

No comments :

Post a Comment