Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 21, 2011

WAZIRI MKUU NA MATUKIO BUNENI DODOMA L EO






Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Bunda na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais , Siasa na Uhusiano wa Jamii, Stephen Wasira (kushoto), Mkamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma, Profesa Idris Kikula (wapili kushoto), Mbunge wa Viti Maalum, Martha Mlata na Waziri wa Ujenziri wa Ujenzi, John Magufuli, kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 20,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)




Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Viti Maalum, Magdalena Sakaya kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma Julai 20,2011.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
http://fullshangwe.blogspot.com/

No comments :

Post a Comment