Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 21, 2011

MATUKIO BUNGENI DODOMA LEO






Waziri Mkuu Mizengo Pinda akizungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo (jana) mara baada ya kuzindua mahabara ya kutembea.


Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk. Shukuru Kawambwa(katikati) na(kushoto) mbunge wa Jimbo la Kinondoni (CCM) na (kulia) ni mbunge wa jimbo la Kawe ,Halima Mdee (CHADEMA) wakiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Zanaki sekondari ambao walikuwa Bungeni leo(jana) kushuhudia bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi.


PICHA ZOTE NA KINABO - MAELEZO

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Anne Makinda akitoa changamoto kwa wanafunzi wa sekondari ya Zanaki na Shule ya Sekondari Dodoma kuwa wasome kwa bidii na kuepuka migomo . Wanafunzi hao walikuwa Bungeni leo(jana) ili kushuhudia bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na kuangalia shughuli za Bunge.

No comments :

Post a Comment