Msimamizi mkuu wa huduma kwa wateja wa Tigo katika maonyesho ya Sabasaba, Boaz Ikupilika (kulia) akiongea na waandishi wa habari juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Tigo katika maonyesho hayo ya 35 ya biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando.
BANGO LA OSHA LIKIKOSEKANA OFISINI KWAKO TOA TAARIFA
-
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafangakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini
Nyamhokya amewataka wafanyakazi kutoa taarifa iwapo wataona ofisi zao
hazina tanga...
4 days ago
No comments :
Post a Comment