Msimamizi mkuu wa huduma kwa wateja wa Tigo katika maonyesho ya Sabasaba, Boaz Ikupilika (kulia) akiongea na waandishi wa habari juu ya huduma mbalimbali zinazotolewa na Tigo katika maonyesho hayo ya 35 ya biashara yanayoendelea katika viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Uhusiano wa Tigo Jackson Mmbando.
KUMBE KAMISHNA BADRU YUPO FITI KINOMA
-
Kamishna wa Uhifadhi, Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Abdul-Razaq
Badru ameongoza mbio za Fame Marathon zilizofanyika leo tarehe 14 Juni,
2026...
1 day ago
No comments :
Post a Comment