Wafanyabiashara ya tende wakipima kwa kilo kwa ajili ya kuweka kwenye mifuko kuuza kushoto ni Sadam Mubaraq na Said Makingo kama walivyokutwa makutano ya mtaa wa Mafia na Swahili DAr es Salaam jana zao la tende upendwa kununuliwa sana katika kipindi cha mfungo wa mwezi wa Ramadhani itakayoanza mwanzoni mwa mwezi ujao
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment