Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 6, 2011

TIGO YAPIGA TAFU SEKTA YA ELIMU


Ofisa Uhusiano wa Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo, Jackson Mmbando (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu kampeni ya waliyoianzisha ya kuchangisha fedha kwa ajili ya maendeleo ya Sekta ya Elimu nchini. Tigo wametenga saa moja kesho Jumamosi kuanzia saa 3 mpaka saa 4 asubuhi, kukusanya fedha zote watakazopiga wateja kwa muda huo kuchangia sekta hiyo. Kushoto ni Meneja Habari, Elimu na Mawasiliano wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA), Sylivia Gunze

No comments :

Post a Comment