Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, October 2, 2013

WAZIRI WA MAMBO YA NDANI YA NCHINI DK EMMANUEL NCHIMBI, MKURUGENZI WA IOM KANDA YA AFRIKA MASHARIKI NA PEMBE YA AFRIKA USO KWA USO JIJINI DAR ES SALAAM LEO




 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akimfafanulia jambo Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Wahamiaji (IOM) Kanda ya Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika, Ashraf El Nour alimpomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Kiongozi huyo wa IOM alifika ofisini kwa Dk Nchimbi kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusiana na masuala mbalimbali ya wahamiaji. 
 Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akimsikiliza Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Wahamiaji (IOM) Kanda ya Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika, Ashraf El Nour alimpomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusiana na masuala mbalimbali ya wahamiaji. Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa IOM nchini, Damien Thuriaux. 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (kushoto) akimshukuru Mkurugenzi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohusika na Wahamiaji (IOM) Kanda ya Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika, Ashraf El Nour kwa kumtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo kwa lengo la kubadilishana mawazo kuhusiana na masuala mbalimbali ya wahamiaji. Kulia ni Mwakilishi Mkazi wa IOM nchini, Damien Thuriaux. Picha na Felix Mwagara, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi. KITENGO CHA MAWASILIANO YA SERIKALI.WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI.

No comments :

Post a Comment