Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, May 23, 2012

KAMATI YA MISS TANZANIA YATEMBELEA MAZOEZI YA MISS KURASINI



Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundega akiongea na warembo wanaoshiriki katika shindano la Miss Kurasini hawapo pichani ,wakati wa mazoezi yao yanayofanyika kwenye ukumbi wa Equator Grill Mtoni kwa Azizi Ali jijini Dar es salaam, Shindano la kumsaka malkia wa kitongoji hicho linatarajiwa kufanyika siku yajumamosi katika ukumbi huohuo.


Pichani kutoka kulia ni Benny Kisaka mwanadaaji wa Miss Temeke, Albert Makoye mkuu wa Itifaki Miss Tanzania, Bosco Majaliwa Katibu Mkuu Miss Tanzania na nyuma ni Juma Mabakila mwandaaji Miss Ilala
Warembo wanaoshiriki katika shindano la Miss Kurasini wakimsikiliza Mkurugenzi wa kamati ya Miss Tanzania Hashim Lundega wakati wa mazoezi ya shindano la Miss Kurasini kwenye ukumbi wa Equator Grill leo jioni.

No comments :

Post a Comment