Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, May 23, 2012

NAIBU WAZIRI WA WIZARA YA MAWASILIANO ,SAYANSI NA TEKNOLOJIA ATEMBELEA MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA TCRA



Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia January Makamba akipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  Profesa John Nkoma, wakati alipotembelea Makao Makuu ya ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania zilizopo jengo la Mawasiliano Taower Sinza  ,barabara ya Sam Najoma jijini Dar es Salaam.kujionea shughuli zinazofanya na Mamlaka hiyo
.Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia Januari Makamba akimsikiliza Mhandisi Mfawidhi wa Mawasiliano ya Redio wa  Mamlaka ya Mawasilioano Tanzania. Mhandisi,Johannes Magesa wakati alipokuwa akitoa maelezo juu ya kutambua muingiliano wa mawasiliano kwa frequecy za redio wakati waziri huyo alipotembelea TCRA kujionea shughuli zinazofanya na Mamlaka hiyo . kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Profesa John Nkoma.
Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano ,Sayansi na Teknolojia January Makamba ( kulia) akimsikiliza Mhandisi wa TCRA Ikuja Jumanne wakati alipokuwa akionyeshwa kifaa cha kupimia Masafa ya Redio na TV.wakati aliopotembelea TCRA .
Naibu Waziri wa Wizara ya Mawasiliano ,Sayansi na Teknolojia January Makamba ( katikati) Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawsiliano Tanzania Pfrofesa John Nkoma, wakionyeshwa kifaa kinachotumika kupimia mionzi ya minara mbalimbali hapa nchini na Meneja wa Mipango na Utafiti wa TCRA Dk.Ali Simba.

No comments :

Post a Comment