Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, May 18, 2012

WASHIRIKI WA BIGBROTHER STARGAME 2012 WAZUNGUMZA NA WANDISHI WA HABARI BAADA YA KUREJEA



Aliyekuwa Mwakilishi wa Tanzania katika Shindano la msimu wa 7 wa  Big Brother Stargame 2012 wapili kulia Bw.Julio Batalia  akizungumza na  waandishi wa habari kwenye mkutano uliofanyika kwenye hoteli ya Southernsun jijini Dar es salaam , wa pili kutoka kulia ni Mshiriki wa Big Brother Stargame 2012 Bi,Hilda Reiffenstein, kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Bi Furaha Samalu wa mwisho kulia na kushoto ni Meneja Uhusiano wa Maltchoice Tanzania Barbara Kambogi
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
Alikyekuwa Mshiriki wa Big Brother Stargame 2012 Bi,Hilda Reiffenstein akizungumza na wanahabari kwenye hoteli ya Southersun jijini Dar es salaam leo, kulia ni Meneja Masoko wa Kampuni ya Multichoice Tanzania Bi Furaha Samalu wa mwisho kutoka kushoto ni Meneja Uhusiano wa Maltchoice Tanzania Barbara Kambogi na Bw.Julio Batalia aliyekuwa mshiriki wa Bigbrother Stargame 2012
Afisa Mahusiano wa Multichoice Tanzania Barbara Kambogi wakwanza(kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ambapo ametolea ufafanuzi mfumo uliotumika mwaka huu katika kuchagua nchi itakayotoka katika shindano hilo  Afisa Mahusiano wa Multichoice Tanzania Barbara Kambogi wakwanza(kushoto) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam ambapo ametolea ufafanuzi mfumo uliotumika mwaka huu katika kuchagua nchi itakayotoka katika shindano hilo  
Waandishi wa habari wakiwa katika mkutano

No comments :

Post a Comment