Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, May 28, 2012

WAPIGA PICHA ZA HABARI KATIKA MAFUNZO MAALUM LEO DAR



 Mkurugenzi wa Mfuko wa Vyombo vya Habari-Tanzania Media Fund (TMF) , Ernest Sungura, akifungua semina ya wapigapicha za habari waandamizi, leo kwenye ukumbi za Msimbazi Centre, Dar es Salaam. Kushoto ni mratibu wa semina hiyo Selemani Mpochi na watatu kutoka (kushoto) ni Ofisa Mawasiliano wa Airtel Dagio Kaniki.
Baadhi ya wapigapicha za habari wakiwa kwenye semina hiyo.
Mkufunzi kutoka Frem Tree, Mwanzo Milinga, akitoa mafunzo kuhusiana na kazi ya kupiga picha za habari, wakati wa semina hiyo

No comments :

Post a Comment