Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, May 18, 2012

WENGI WAJITOKEZA KUUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MCHEZAJI WA SIMBA, MAREHEMU PATRICK MAFISANGO



 Wachezaji wa timu ya soka ya Taifa (Taifa Stars), wakiwa wamebeba mwili wa aliyekuwa mchezaji wa timu ya Simba, marehemu Patrick Mafisango, tayari kutolewa heshima za mwisho leo kwenye viwanja vya TCC Chang'ombe, Dar es Salaam.
 Msafara wa mwili wa Mafisango ukiongozwa na Trafiki, kuingia viwanja vya TCC Chang'ombe, Dar es Salaam leo

 Baadhi ya watu waliojitokeza kutoa heshima za mwisho kwa mwili wa Mafisango, wakiwa wamejipanga tayari kkupokea kwenye viwanja vya TCC Chang'ombe.
                                    Mmoja wa ndugu wa karibu wa marehemu Mafisango, akilia kwa uchungu

 Mchezaji wa Simba na Taifa Stars, Mwinyi Kazimoto akifarijiwa
                      Jamaa wakimfariji mlinda mlango wa Simba, Juma Kaseja aliyekuwa akilia kwa uchungu
                           Mwombolezaji akiwa ameshika bango la kumuombe dua marehemu Mafisango
 Mchungaji akiendesha ibada maalumu ya kuuaga mwili wa marehemu Mafisango
 Katibu Mkuu wa Yanga, Mwesiga Selestine akitoa salamu za Yanga wakati wa kuugana mwili wa Mafisango
 Askari wakilinda usalama
 Mwanachama maarufu wa Simba, Philemon Sarungi akimfariji Mwenyekiti wa Simba , Aden Rage ambaye alishindwa kuendelea kusoma risala na kuangua kilio.
 Katibu Mkuu wa TFF, Angetile Osiah akisoma salamu za rambirambi za shirikisho hilo
 Mwili wa marehemu Mafisango
 Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Fenella Mukangala akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu Mafisango
 Viongozi wa michezo wakitoa heshima za mwisho

No comments :

Post a Comment