Meneja
wa Tawi wa Benki ya NBC Morogoro, Jasson Shumbusho (kulia) akikabidhi
mfano wa hundi ya shs Milioni 5.1 kwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Sanaa za
Maonyesho ya Ngoma Africa Performing Arts, Davie Kitururu ikiwa ni
udhamini wa NBC katika tamasha la sanaa la watoto la Paukwa. Kushoto ni
Mkurugenzi mwenza wa Taasisi hiyo, Bi. Maya Davie na wengine ni baadhi
ya wafanyakazi wa benki hiyo.
KARIBU NYUMBANI YABAMBA OLDUVAI.
-
Washiriki zaidi ya 300 wameshiriki mbio fupi za kilomita 5 katika bonde la
Olduvai Ngorongoro kwa lengo la kutangaza vivutio vya asili vya Olduvai na
...
5 hours ago

No comments :
Post a Comment