Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, May 25, 2012

TAIFA STARS MALAWI KUKIPIGA KESHO


Msemaji wa TFF Boniface Wambura akiwatambulisha makocha wa soka Malawi na Tanzania kwa ajili ya kuzungumzia mpambano wao utakaofanyika kesho katika uwanja wa Taifa Dar es salaam
Kocha wa timu ya Taifa ya Malawi. Kinnah Phiri akizungumza na kocha wa timu ya TAIFA Stars Kim Polsen
Kocha wa timu ya Taifa ya Malawi. Kinnah Phiri akizungumza na waandishi wa habari kuusu mpambano wa kesho zidi ya Taifa Stars
Kocha wa timu ya Taifa ya Malawi. Kinnah Phiri  kulia  na kocha wa timu ya TAIFA Stars Kim Polsen wakizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo

No comments :

Post a Comment