Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, June 13, 2012

BAJETI YA SMZ YAWASILISHWA LEO MJINI ZANIZBAR



 Waziri wa Nchi Afisi ya Rais anaeshughulikia Fedha na Uchumi na
Mipango ya Maendeleo Zanzibar,Omar Yussuf Mzee akionesha mkoba wenye nyaraka za  Bajeti ya
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kwa Mwaka wa Fedha 2012/2013 leo Nje
ya Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi(Picha na Yussuf Simai,MAELEZO
Zanzibar)
 Waziri wa Nchi Afisi ya Rais anaeshughulikia Fedha na Uchumi na
Mipango ya Maendeleo Zanzibar,Omar Yussuf Mzee akisoma bajeti ya SMZ
  leokatika Baraza la Wawakilishi.(Picha na Yussuf Simai,MAELEZO
Zanzibar)
Baadhi ya wasikilizaji waliofika kusikiliza bajeti ya SMZ ya
mwaka 2012/2013 leo (Picha na Yussuf Simai,MAELEZO Zanzibar)

No comments :

Post a Comment