Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, June 11, 2012

NAPE AMJULIA HALI SELASINI



 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, CCM, Nape Nnauye akimjulia hali, Mbunge wa Rombo kwa tiketi ya Chadema, Joseph Selasini, alipomtembelea wodini, katika hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam. Selasini anapatiwa matibabu katika hospitali hiyo baada ya kuhamishwa kutoka hospitali ya KCMC ambako alikuwa akitibiwa baada ya kupata ajali ya gazri hivi karibu.
Selasini na Nape wakifurahia jambo baada ya kutaniana katika masuala ya siasa. Picha: Daily Nkoromo Blog

No comments :

Post a Comment