Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 5, 2014

LG YAZINDUA JOKOFU LENYE KUTUNZA BARIDI KWA MUDA MREFU



Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania BW. Mayur Parikh wa pili kushoto na meneja masoko wa kanda wa kampuni hiyo BW, Shakti Vellu wakizindua Jokovu lenye kutunza baridi la kampuni ya LG picha na www.burudan.blogspot.com

Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania BW. Mayur Parikh wa pili kushoto na meneja masoko wa kanda wa kampuni hiyo BW, Shakti Vellu wakizindua Jokovu lenye kutunza baridi la kampuni ya LG picha na www.burudan.blogspot.com

Ofisa masoko wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania ambao ni wakala wa huuzaji wa bidhaa za LG BI, Grece Kavishe akitoa maelekezo jinsi jokofu hilo lilivyokuwa na uwezo wa kuifadhi umeme kwa muda wa masaa saba mpaka kumi

Ofisa masoko wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania ambao ni wakala wa huuzaji wa bidhaa za LG BI, Grece Kavishe akitoa maelekezo jinsi jokofu hilo lilivyokuwa na uwezo wa kuifadhi umeme kwa muda wa masaa saba mpaka kumi pamoja na garanti ya miaka kumi

Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Hotpoint Tanzania BW. Mayur Parikh akitoa maelezo ya jinsi ya jokofu za LG zinavyo ifadhi umeme kwa muda wa masaa kumi

No comments :

Post a Comment