Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 17, 2014

WAZIRI MAJI MH JUMANNE MAGHEMBE AZINDUA RASIMI WIKI YA MAJI KITAIFA MKOANI DODOMA




 Waziri wa maji Jumanne Maghembe akipata maelezo kutoka kwa mtalamu kutoka nnchini Australia Eng Johann Fabach kuhusu bomba lililo tengenezwa kwa teknolojia ya kisasa nchini Australia ambalo haliharibiki kwa urahisi wala kupata kutu kulia ni mkurugenzi msaidizi wa kutoka Prima Business ya nchini Australia Bibi Annastella Baradyana maonyeshohayo yanafanyika katika uwanja wa Jamuhuri Mjini Dodoma. 
Ofisa Habari wa Dawasa Neli Msuya akitoa maelezo kwa waziri wa Maji Jumanne Maghembe kuhusu shughuli zinazo fanywa na Dawasa mjini  . Picha na chris Mfinanga

No comments :

Post a Comment