Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 26, 2014

WINDHOEK BEER YADHAMINI SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA KLABU YA BONGO MOVIE ITAKAYOFANYIKA TAREHE 28 IJUMAA HII NDANI YA UKUMBI WA EAST 24


 Mwenyekiti wa Bongo Movie, Bw Steve Nyerere akiongea na waandishi wa habari wakati wa mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa East 24 uliopo Arcade house Mikocheni.
 Steve Nyerere akinadi kinywaji cha Windhoek ambao ndio wadhamini wakuu wa sherehe ya Kutimiza Miaka 3 ya kuzaliwa kwa Bongo Movies, Sherehe itakayofanyika katika Ukumbi wa East 24 uliopo Arcade House Mikocheni jijini Dar Es Salaam Ijumaa ya tarehe 28.
Rais wa FM Academia Nyoshi Ali Sadat akiongea na wadau waliofika katika ukumbi wa East 24 wakati wa utambulisho wa wasanii na bendi zitakazotoa Burudani siku ya Sherehe ya Kuzaliwa kwa klabu ya Bongo Movie itakayofanyika katika ukumbi wa East 24 uliopo Arcade House ijumaa ya tarehe 28 Mwezi huu
 Meneja Masoko wa Kampuni ya Mabibo Beer, Bw Jerome Rugemalila akiongea na Waandishi wa habari wakati wa utambulisho wa Bendi na wasanii watakaotoa burudani ya nguvu siku ya sherehe ya Kuzaliwa kwa Bongo Movie itakayofanyika tarehe 28 katika Ukumbi wa East 24 uliopo Arcade House Mikocheni Jijini Dar.
 Baadhi ya wasaniii wa Bongo Movies wakifuatilia kwa makini 
 Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mabibo Beer, Benadetha Rugemalira (aliyeshika kinywaji cha Climax) akifuatilia kwa makini matukio wakati wa utambulisho wa Wasanii na bendi zitakazotoa burudani siku ya ijumaa kwenye sherehe ya Kuazimisha miaka 3 ya kuzaliwa kwa Bongo Movie
 Baadhi ya wadau waliohudhuria utambulisho huo uliofanyika katika ukumbi  wa East 24
 Mkurugenzi Mkuu wa Mabibo Beer, Mama Benadetha Rugemalira (kulia) akijadiliana jambo na Meneja masoko wa Mabibo Beer, Jerome Rugemalira (pili kulia) na Mwenyekiti wa Klabu ya Bongo Movie, Bwa Steve Nyerere na Msanii wa bongo movie Adam Kuambiana
Mwenyekiti wa Bongo Movie, Steve Nyerere akijadiliana jambo na Katibu wa Bongo Movie Mtitu wakati wa utambulisho wa Wasanii na bendi zitakazotoa burudani wakati wa sherehe za kutimiza miaka mitatu ya kuzaliwa kwa klabu ya Bongo Movie.

No comments :

Post a Comment