Redd's Miss Kinondoni 2014, Maria Shila (klatikati) akipunga mkono baada
ya kutangazwa kuwa ndie mshindi wa taji hilo na kuwaongoza warembo
wengine 15 waliokuwa wakiwania taji hilo. Wengine mshindi wa pili Camila
Cindy John (kulia) na mshindi wa tatu Queenlatifa Hasim. Shindano hilo
lilifanyika Dar es Salaam usiku wa kuamia jana. (Picha na Father Kidevu
Blog).
MAKALLA,LAIZER WAZINADI FURSA ZA UTALII NA UWEKEZAJI NGORONGORO
-
Naibu Kamishna wa Uhifadhi, Huduma za Shirika Ngorongoro Bw. Aidan Makalla
(kulia) akiwa ameambatana na Abdiel Laizer Afisa Utalii Mkuu Msaidizi
amekutan...
6 hours ago
No comments :
Post a Comment