Mratibu wa shindano la Redd's miss Kinondoni 2014 Innocent Melleck
katikati akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar Es Salaam juu ya
shindano la kanda ya kinondoni litakalofanyika katika ukumbi wa Escape
One ijumaa kwa kiingilio cha 10,000 kwa viti vya kawaida na 30,000 kwa
VIP huku burudani za Malaika Bend chini ya Chirstian bella na Young Suma
na tayari tiketi zipo mtaani. Baadhi ya warembo wa shoto ni matroni wa kambi hiyo Husna Maulid na
kulia ni Mkuu wa itifaki wa kamati ya Miss Tanzania Albert Makoye
MAKALLA,LAIZER WAZINADI FURSA ZA UTALII NA UWEKEZAJI NGORONGORO
-
Naibu Kamishna wa Uhifadhi, Huduma za Shirika Ngorongoro Bw. Aidan Makalla
(kulia) akiwa ameambatana na Abdiel Laizer Afisa Utalii Mkuu Msaidizi
amekutan...
6 hours ago
No comments :
Post a Comment