Mratibu wa shindano la Redd's miss Kinondoni 2014 Innocent Melleck
katikati akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar Es Salaam juu ya
shindano la kanda ya kinondoni litakalofanyika katika ukumbi wa Escape
One ijumaa kwa kiingilio cha 10,000 kwa viti vya kawaida na 30,000 kwa
VIP huku burudani za Malaika Bend chini ya Chirstian bella na Young Suma
na tayari tiketi zipo mtaani. Baadhi ya warembo wa shoto ni matroni wa kambi hiyo Husna Maulid na
kulia ni Mkuu wa itifaki wa kamati ya Miss Tanzania Albert Makoye
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment