Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, August 11, 2014

NGUMI ZILIVYOPIGWA MBAGALA



 Bondia Maulid Gogodigo kushoto akioneshana umwamba na Hassan Kidebe wakati wa mpambano wao uliofanyika Mbagala katika ukumbi wa Amenya Pub Kidebe alishinda kwa point mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
 Bondia Maulid Gogodigo kushoto akioneshana umwamba na Hassan Kidebe wakati wa mpambano wao uliofanyika Mbagala katika ukumbi wa Amenya Pub Kidebe alishinda kwa point mpambano huo picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Seleman Mkalakala  kushoto akipambana na Ibrahim Maokola wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa tpbc uliofanyika katika ukumbi wa amenya pub mbagala Maokola alishinda kwa K,o ya raundi ya nne katika mpambano huo picha na
www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Ibrahimu Maokola akivalishwa mkanda na Habibu Kinyogoli
Maokola akishangilia baada ya kunyakua mkanda wa TPBC

No comments :

Post a Comment