Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, August 11, 2014

NGUMI ZILIVYOPIGWA MWANANYAMALA CCM MWIJUMA




Bondia Fadhil Boika kushoto akipambana na Juma Biglee wakati wa mpambano wao Biglee alishinda kwa point mchezo uho picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Fadhil Boika kushoto akipambana na Juma Biglee wakati wa mpambano wao Biglee alishinda kwa point mchezo uho picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mabondia Fadhili Boika kushoto na Jyma Biglee wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kumaliza mpambano wao
Bondia Abdallah Pazi kushoto akimshambulia kwa makonde Maneno Osward wakati wa mpambano wao uliofanyika mwananyamala  Pazi alishinda kwa K,O ya raundi ya tatu picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia Maneno Osward kushoto akipambana na Abdallah Pazi wakati wa mpambano wao uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika ukumbi wa CCM Mwijuma mwananyamala Pazi alishinda kwa K,O ya raundi ya tatu picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments :

Post a Comment